Mimi Mama Bishanga, Prisca Zenda na wanachuo wenzetu watanzania wa Cleveland State University, Cleveland, Ohio, tumesikitishwa sana na kifo cha ghafla cha  mwanao Maggid Michuzi  kilichilichotoke South Africa. Pokea pole zetu na tunamuombea marehemu amani ya kudumu katika usingizi wake wa milele: Na mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu unachopitia.
AMINA
 Mrs Marolen a.k.a  Mama Bishanga (kulia) na Prisca Zenda wananchuo wa Cleveland State University. kilichopo Cleveland, Ohio, USA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...