Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kitongoji cha Mlandizi Kati Bw. Ally Nyambwilo akizungumza wakati wa Utafiti wa Mfumo wa Sheria ya Huduma za Jamii kwa Wazee unaondeshwana Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika mikoa ya Pwani na Morogoro.
Mzee wa Jamii ya ufugaji Bw. Lukunati Moreto wa kijiji cha Magindu katika Halmashauri yaWilaya ya Kibaha Vijijini akichangia maoni wakati wa Utafiti wa Mfumo wa Sheria ya Huduma za Jamii kwa Wazee unaondeshwana Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akizungumza na Wazee wa Kitongoji cha Mlandizi Kati wakati wa Utafiti wa Mfumo wa Sheria ya Huduma za Jamii kwa Wazee unaondeshwana Tume.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...