PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE.
Home
Unlabelled
NAIBU WAZIRI ANGELINA MABULA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA NHC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Unawasifia nini, hawa jamaa ni bure kabisa. Nyumba za Mwongozo zilikuwa ziishe Machi 2015, sasa hivi hata wenyewe hawajui zitaisha lini.
ReplyDeleteHongera Rais Magufuli kwani vinginevo mikutano yote hii ingekuwa nje ya dar kwenye mahoteli ya star saba kumbe kumbi za maana kabisa zipo mjini. Shukrani NHC kwa kuonyesha mfano wa kuigwa.
ReplyDeleteHongereni!Kazi nzuri na nyumba ni nzuri sana. Ila mikopo imewekewa riba kubwa sana ambayo huwezi kumaliza deni kirahisi. Nyumba ni asset isiyo hamishika na mkopo wake ni wa miaka mingi,hivyo kuweka riba ya 8% kwa miaka 15 ni wizi wa hali ya juu kutoka kwa mabenki yetu.
ReplyDeleteMaana kwa mfano ukikopa milioni 200 (200,000,000) riba peke yake kwa mwaka wa kwanza ni 16,000,000(16 million) ;ambayo ni karibu na 1,300,000 kwa mwezi. Hii ni riba tu ,bado hujaweka malipo ya yanayoingia kwenye mkopo wenyewe labda 1,000,000, jumla inakuja kama 2,300,000 kwa mwezi.
Hii itasababisha anguko la kiuchumi kwenye hiyo sekta ya real estate.
Kama ilivyotokea USA, mabenki mengi yatafilisika kwa sababu wengi watashindwa kulipa hayo madeni.
Ni mamoni yangu tu...
NHC anzeni kujenga majengo kwa kutumia wafanyakazi wenu. Tabia ya kuwapa wakandarasi binafsi na wa kutoka nje itumike kama chachu ya ninyi kujifunza. Wakati umefika muweze kujitegemea wenyewe kwa kutumia resources zenu ili kuokoa pesa mnazolipa wakandarasi wengine.
ReplyDeleteHii italeta tija kwa wakandarasi wenu pia bei za nyumba zitakuwa nafuu kwa watanzania.