Wakili wa Serikali Mkuu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Charles Mmbando akiwaeleza waaandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi ambao ni wahitaji wa msaada hiyo juu ya masuala mbalimbali yanayowakabili, Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Bi. Sheiba Bulu.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia Mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...