Wakili wa Serikali Mkuu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Charles Mmbando akiwaeleza waaandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi ambao ni wahitaji wa msaada hiyo juu ya masuala mbalimbali yanayowakabili, Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Bi. Sheiba Bulu.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia Mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...