Ofisa kilimo wa halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Claudy Losiock (kulia) akizungumza juzi na baadhi ya madiwani na mkuu wa wilaya hiyo Mahmoud Kambona (kushoto) kwenye shamba lake ambalo ni darasa kwani amelima na kupanda kitaalamu.Madiwani hao walionekana kuvutiwa mno na elimu hiyo ya shamba darasa la Mahindi.(picha na woinde shizza, Simanjiro).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...