Wadau mbalimbali waliohudhuria kongamano la DICOTA 2016 wakiwa kwenye nyama choma siku ya Jumamosi April 30, 2016 mara tu baada ya mechi ya Simba na Yanga kumalizika. Picha na Vijimambo/Kwanza production.
Washiriki wa DICOTA 2016 wakiwa kwenye nyama choma. 

Washiriki wa kongamano la DICOTA 2016 wakiwa kwenye nyama choma iliyokua sehemu ya kongamano hilo lililofanyika siku ya Jumamosi April 30, 2016 Dallas, Texas nchini Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2016

    Mbona hatupewi matokeo ya Mkutano? Ama ni paid holidays with families?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...