Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) akikata utepe kuzinduwa Kampuni ya Auto Xpress tawi la Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makapuni ya Auto Xpress, Sandeep Shah pamoja na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Auto Xpress Tanzania, Leonard Mususa (wa kwanza kulia).Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) akikata utepe kuzinduwa Kampuni ya Auto Xpress tawi la Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makapuni ya Auto Xpress, Sandeep Shah pamoja na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Auto Xpress Tanzania, Leonard Mususa (wa kwanza kulia).Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) akikata utepe kuzinduwa Kampuni ya Auto Xpress tawi la Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makapuni ya Auto Xpress, Sandeep Shah pamoja na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Auto Xpress Tanzania, Leonard Mususa (wa kwanza kulia).Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) akikata utepe kuzinduwa Kampuni ya Auto Xpress tawi la Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makapuni ya Auto Xpress, Sandeep Shah pamoja na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Auto Xpress Tanzania, Leonard Mususa (wa kwanza kulia).Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) akizungumza katika uzinduzi wa Kampuni ya Auto Xpress tawi la Dar es Salaam.Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) akizungumza katika uzinduzi wa Kampuni ya Auto Xpress tawi la Dar es Salaam.Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makapuni ya Auto Xpress, Sandeep Shah akizungumza kabla ya uzinduzi wa kampuni hiyo kwa tawi la Dar es Salaam. Kampuni ya Auto Xpress tawi la Tanzania inafanya kazi ya ukaguzi wa magari kiufundi (service) kwa mfumo wa kisasa kwa kutumia kompyuta pamoja na uuzaji wa vifaa madhubuti kwenye magari. Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makapuni ya Auto Xpress, Sandeep Shah akizungumza kabla ya uzinduzi wa kampuni hiyo kwa tawi la Dar es Salaam. Kampuni ya Auto Xpress tawi la Tanzania inafanya kazi ya ukaguzi wa magari kiufundi (service) kwa mfumo wa kisasa kwa kutumia kompyuta pamoja na uuzaji wa vifaa madhubuti kwenye magari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...