Prof. Magimba (Kulia) akifungua mkutano wa 5 wa mapitio wa Mpango wa Taifa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ambao unapitia na kupanga mikakati ya utekelezaji wa kutoa elimu,kukinga na kutibu magonjwa hayo nchini ambayo ni usubi,vikope(trakoma), kichocho, minyoo ya tumbo pamoja na matende na mabusha.Mkutano ambao unaendelea kufanyika mjini Arusha ili kwaajili ya kupambana na magonjwa hayo.

Baadhi ya mdau wa mpango wa taifa wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele toka nchi mbalimbali akichangia mada kwenye mkutano huo.
Prof.Magimba mwenye tai nyekundu(aliyekaa katikati)akiwa kwenye picha ya pamoja wadau wa maendeleo toka mashirika mbalimbali toka Tanzania na nje ya nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...