Mkurugenzi wa Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT), Bw. Said Kambi (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mkutano uliojadili nafasi ya mwanamke katika uongozi hasa bodi za wakurugenzi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  kulia ni washiriki wa mkutano huo uliotayarishwa na Jumuiya ya Madola kwa kushirikiana na serikali na IoDT.
 Mkurugenzi wa Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT), Bw. Said Kambi (kulia) akisisitiza jambo wakati wa mkutano uliojadili nafasi ya mwanamke katika uongozi hasa bodi za wakurugenzi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  Wa pili kulia ni Spika Mstaafu Mama Anne Makinda; Mwezeshaji kutoka Malaysia, Bi. Anne Abraham (kushoto) na Mshauri wa masuala ya Jinsia na Maendeleo ya Uchumi, Sarah Kitakule (wa pili kushoto).
Spika Mstaafu Mama Anne  Makinda akisisitiza jambo wakati wa mkutano uliojadili nafasi ya mwanamke katika uongozi hasa bodi za wakurugenzi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT), Bw. Said Kambi; Mwezeshaji kutoka Malaysia, Bi. Anne Abraham na Mshauri wa masuala ya Jinsia na Maendeleo ya Uchumi (wa pili kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...