Rais Magufuli  pamoja na mkuu wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam Mh.Jakaya kikwete wakiwasili katika hafla ya kuweka jiwe la msingi chuo kikuu UDSM.  https://youtu.be/S8RaCsBXkG0
Shamra shamra zatawala katika chuo kikuu cha Dar Es Salaam baada ya Rais Magufuli kwenda kuweka jiwe la msingi katika chuo kikuu cha Dar Es Salaam:  https://youtu.be/Vzz-4aHusf8
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam wapiga vigelegele kwa wingi baada ya waziri wa elimu Prof.Ndalichako kutambulishwa chuoni hapo:  https://youtu.be/bnz92rpKxpc
Mhe. Ndalichako aelezea kwa undani umuhimu wa ujenzi wa makataba mpya iatakavyoweza kuchangia kuinua ubora wa elimu.  https://youtu.be/8eY_VBhzo8I
Hatimaye mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam Mhe. Kikwete afunguka mazito katika hafla ya kuzindua maktaba ya kisasa.   https://youtu.be/5Tgg93Y0L58
Mhe. Ndalichako aelezea kwa undani umuhimu wa ujenzi wa makataba mpya iatakavyoweza kuchangia kuinua ubora wa elimu.  https://youtu.be/SFN5pL2KcDg
Rais Magufuli atoa pongezi za dhati kwa rais Mstaafu Mhe. Kikwete kwa kuratibu mpango wa ujenzi mkubwa wa maktaba ya kisasa.  https://youtu.be/jPO_Za-0dHA
Rais Magufuli aipongeza serikali ya watu wa China kwa kuwa rafiki wa kweli wa Tanzania na kufadhiri miradi mbalimbali ya maendeleo. https://youtu.be/0s-nWv2iu-4
Rais Magufuli atia vionjo kwa Prof. Ndalichako huku akizungumzia kwa undani sakata la wanafunzi wa chuo waliosimamishwa masomo.  https://youtu.be/P5zXVxvLrC0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 02, 2016

    Sasa hao waliomaliza chuo kikuu na div IV za form four na wamehitimu kabla hujawa raisi mtawafanyaje? wewe na waziri?

    Napendekeza wanyanganywe vyeti au vyeti vyao viwe diploma.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 02, 2016

    Inaonyesha Dr. Magufuli na Dr. Ndalichako wanaserve vizuri profession zao za elimu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...