Umoja wa Ulaya wamezindua kitabu cha nishati jijini Dar es Salaam leo, kwa lengo la kuwezesha Tanzania kuwa na nishati ya ukuwaji wa uchumi endelevu.
Balozi, Roeland Van De Geer akizungumza katika uzinduzi wa kitabu cha (Empowerin Tanzania Energy for Growth and Sustainable Development) jijini Dar es Salaam leo. Amesema kuwa Nishati ya Umeme hapa nchini lazima iwe kwa maendeleo endelev kwa kuwa Tanzania inatakiwa kuwa ni nchi ya viwanda inahitaji kuwa na umeme wa uhakika.
Balozi, Roeland Van De Geer akikata utepe kuzindua kitabu cha Nishati.
Baadhi ya wadau wakiwa wameshika vitabu vya nishati.
Hii ni hatua muhimu. Sera za Magufuli zimeanza kuwagusa watu. Naona mwanga mkubwa sasa.
ReplyDelete