Pichani ni baadhi ya mashuhuda wakiliangalia lori lililopoteza muelekea na kugonga kingo za daraja la Nyerere Kigamboni, na kupinduka usiku huu. chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika na haijajulikana kama kuna aliepoteza maisha au majeruhi katika ajali hiyo.
Muonekani wa lori hilo baada ya ajali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 11, 2016

    Tanzania hatutakaa tuendelee. Tuna madereva wazembe mno, kazi yao ni kuharibu miundo mbinu ya barabara na kugonga alama za barabarani. Hii ina uma sana tena sana. Nani katuloga watanzania? Tunadai maendeleo. Tukifanyiwa tunayaharibu. Ni lini watanzania tutajivunia maendeleo yetu na kuyalinda. Yamkini huyu alikuwa amelewa? Ni nini hii? Nashindwa kuamini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...