Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge akiongea na wananchi wa kijiji cha Nangero wilaya ya Namtumbo alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa wananchi na kusikiliza kero zao
Sehemu ya wananchi wa vijiji vya Mhangazi na Kitanda wakiwa kwenye mkutano ulioitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma
Mbunge wa jimbo la Namtumbo amabye pia ni Naibu Waziri wa Mawasiliano,Uchukuzi na Ujenzi Mhandisi Edwin Ngonyani akiongea na wananchi wa vijiji vya Mhangazi na Kitanda wakati mkuu wa mkoa wa Ruvuma alipofanya ziara kwenye vijiji kusikiliza kero za wananchi
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt.Binilith Mahenge akiongea na wananchi wa vijiji vya Mhangazi na Kitanda wilaya ya Namtumbo leo wakati wa ziara yake ya kutatua mgogoro wa mpaka na hifadhi ya msitu wa Kipiki.
Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko akijibu baadhi ya hoja za wananchi wa vijiji vya Mhangazi na Kitanda kuhusu uwepo wa mgogoro wa mpaka na hifadhi ya msitu ya Kipiki wakati mkuu wa mkoa wa Ruvuma alipofanya ziara kutembelea eneo hili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...