Mkurugenzi  mwandamizi wa ajali za ndege , Wizara ya Uchukuzi Malayasia, Basha Khan,(kushoto waliochuchuma )  na Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,wakikagua mabaki ya bawa la ndege,  wakati  serikali ya  Tanzania  ilipokuwa ikikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari  na  Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes.
 Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (kulia )  akisaidiana na wafanyakazi wa DHL kuingiza mabaki ya bawa la ndege  tayari kuelekea nchini Malaysia kwa uchunguzi zaidi mara baada ya  serikali ya  Tanzania  kulikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (wapili kushoto )  akitoa maelekezo kwa wafanyakazi  wa DHL jinsi ya kuingiza mabaki ya bawa la ndege  tayari kuelekea nchini Malaysia kwa uchunguzi zaidi mara baada ya  serikali ya  Tanzania  kulikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...