Mkurugenzi mwandamizi wa ajali za ndege , Wizara ya Uchukuzi Malayasia, Basha Khan,(kushoto waliochuchuma ) na Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,wakikagua mabaki ya bawa la ndege, wakati serikali ya Tanzania ilipokuwa ikikabidhi bawa hilo kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba Chungua Hamad Chungua (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam.wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari na Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John Feakes.
Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (kulia ) akisaidiana na wafanyakazi wa DHL kuingiza mabaki ya bawa la ndege tayari kuelekea nchini Malaysia kwa uchunguzi zaidi mara baada ya serikali ya Tanzania kulikabidhi bawa hilo kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba Chungua Hamad Chungua (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (wapili kushoto ) akitoa maelekezo kwa wafanyakazi wa DHL jinsi ya kuingiza mabaki ya bawa la ndege tayari kuelekea nchini Malaysia kwa uchunguzi zaidi mara baada ya serikali ya Tanzania kulikabidhi bawa hilo kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba Chungua Hamad Chungua (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...