SIMU TV: Shirika la umoja wa mataifa la kushunghulikia idadi ya watu duniani UNFPA kwa kushirikiana na serikali linatarajia kuadhimisha siku ya idadi ya watu duniani ifikapo July 11 mwaka huu; https://youtu.be/uJBAGpmape8
SIMU TV: Watanzania wahimizwa kujitokeza kwa wingi katika maonyesho ya kimataifa ya mafuta na gesi asilia ili kutambua fursa zilizopo katika sekta hiyo; https://youtu.be/z5xMTO1qvy8
SIMU TV: Wakazi wa eneo la Tukutuku mkoani Tabora wamuomba mkuu wa mkoa wa Tabora kusitisha zoezi lake la kuwaondoa eneo hilo; https://youtu.be/oEabKNkC128
SIMU TV: Inaelezwa kuwa Miili ya watu saba kati ya tisa waliopoteza maisha katika ajali ya boti iliyotekea hivi karibuni katika mto Ruvuma yapatikana; https://youtu.be/LMwr76JtjLA
SIMU TV: Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe aipa ruhusa RITA kufuta bodi za wadhamini takribani 500 zilizobainika kutokuwa hai; https://youtu.be/f7oFLFIVGTM
SIMU TV: Hatimaye serikali yakamilisha ujenzi wa kivuko cha Kibunduguru kilicho katika kijiji cha Mbaka wilayani Rungwe mkoni Mbeya ; https://youtu.be/JbJRrlHlMlM
SIMU TV: Serikali ya Tanzania yasema haitaweka saini katika mkataba wa Economic Partnership agreement EPA baina ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Umoja wa Ulaya ili kulinda uchumi wa nchi;https://youtu.be/DxtLp5wDRZQ
SIMU TV: Waendesha bodaboda wa mkoa wa Mtwara washauriwa kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii wa PPF ili kupata bima ya afya kwa bei nafuu; https://youtu.be/aBJIWuFm0q4
SIMU TV: Serikali ya Zanzibar pamoja na serikali ya China zaingia makubaliano ya ujenzi wa shule ya kisasa katika kukuza elimu visiwani humo; https://youtu.be/8UtnlrlfKbc
SIMU TV: Inaripotiwa kuwa mtoto wa mmoja wa miaka minne visiwani Zanzibar afanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi ; https://youtu.be/-k20-1H7Lg4
SIMU TV: ligi ya mpira wa wavu jijini Dar Es Salaam inatarajia kuendelea leo kwa michezo mitatu itakayofanyika katika uwanja wa taifa: https://youtu.be/ipAwsKXl5lo
SIMU TV :Fainali ya kukata na shoka ya kombe la mataifa ya Ulaya inatarajia kufanyika na kushirikisha nchi mbalimbali kutoka nje ya Ufaransa: https://youtu.be/wAMv6cyYkEE
SIMU TV:Fahamu mambo mengi kutoka kwa wadau wa michezo wakikujuza kuhusu mashindano ya shambalai mkoani Tanga: https://youtu.be/i1j_qJHcL00
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...