SIMU TV: Shirika la umoja wa mataifa la kushunghulikia idadi ya watu duniani UNFPA kwa kushirikiana na serikali linatarajia kuadhimisha siku ya idadi ya watu duniani ifikapo July 11 mwaka huu; https://youtu.be/uJBAGpmape8
SIMU TV: Watanzania wahimizwa kujitokeza kwa wingi katika maonyesho ya kimataifa ya mafuta na gesi asilia ili kutambua fursa zilizopo katika sekta hiyo; https://youtu.be/z5xMTO1qvy8
SIMU TV: Wakazi wa eneo la Tukutuku mkoani Tabora wamuomba mkuu wa mkoa wa Tabora kusitisha zoezi lake la kuwaondoa eneo hilo; https://youtu.be/oEabKNkC128
SIMU TV:  Inaelezwa kuwa Miili ya watu saba kati ya tisa waliopoteza maisha katika ajali ya boti iliyotekea hivi karibuni katika mto Ruvuma yapatikana; https://youtu.be/LMwr76JtjLA
SIMU TV: Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe aipa ruhusa RITA kufuta bodi za wadhamini takribani 500 zilizobainika kutokuwa hai; https://youtu.be/f7oFLFIVGTM
SIMU TV:  Hatimaye serikali yakamilisha ujenzi wa kivuko cha Kibunduguru  kilicho katika kijiji cha Mbaka wilayani Rungwe mkoni Mbeya ; https://youtu.be/JbJRrlHlMlM
SIMU TV: Serikali ya Tanzania yasema haitaweka saini katika mkataba wa Economic Partnership agreement EPA baina ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Umoja wa Ulaya ili kulinda uchumi wa nchi;https://youtu.be/DxtLp5wDRZQ
SIMU TV: Waendesha bodaboda wa mkoa wa Mtwara washauriwa kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii wa PPF ili kupata bima ya afya kwa bei nafuu; https://youtu.be/aBJIWuFm0q4
SIMU TV: Serikali ya Zanzibar pamoja na serikali ya China zaingia makubaliano ya ujenzi wa shule ya kisasa katika kukuza elimu visiwani humo; https://youtu.be/8UtnlrlfKbc
SIMU TV: Inaripotiwa kuwa  mtoto wa mmoja wa miaka minne visiwani Zanzibar afanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi ; https://youtu.be/-k20-1H7Lg4
SIMU TV: ligi ya mpira wa wavu jijini Dar Es Salaam inatarajia kuendelea leo kwa michezo mitatu itakayofanyika katika uwanja wa taifa: https://youtu.be/ipAwsKXl5lo
SIMU TV :Fainali ya kukata na shoka ya kombe  la  mataifa ya Ulaya inatarajia kufanyika na kushirikisha nchi mbalimbali kutoka nje ya Ufaransa: https://youtu.be/wAMv6cyYkEE
SIMU TV:Fahamu mambo mengi kutoka kwa wadau wa michezo  wakikujuza kuhusu mashindano ya shambalai mkoani Tanga: https://youtu.be/i1j_qJHcL00

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...