
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega wa tatu kutoka kushoto akiwa sambamba na Wazee wa Mkuranga katika eneo la stendi kwenye kijiwe cha kahawa akipata kikombe cha kahawa pamoja ambapo pia walibadilishana mawazo juu ya maendeleo ya wilaya yao leo mkoani Mpwani. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...