
Makundi haya mawili
ambayo ni waandishi wa “Nymaim Trojan” pamoja na “Gozi
Trojan” katika hatua yao ya kuunganisha nguvu yanatabiriwa kuongeza
tishio kubwa la matukio ya wizi wa fedha katika taasisi za fedha duniani kote –
Na inatabiriwa makundi mengine yakielekea kufata njia hii ya kuunganisha nguvu
ili kuongeza kasi ya kudhuru na kuiba fedha katika Taasisi za fedha. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...