Wachezaji wa Liverpool wakifurahia ushindi wao wa bao 5-1 dhidi ya Hull uwanjani kwao Anfield leo
Coutinho akilenga nyavu ndogo kuandika bao la nne kutoka mita 25
![]() |
Kocha Jurgen Klopp akifurahia ushindi, ila safari hii kimyakimya...
Coutinho na Roberto Firmino wakifanya utani baada ya wote kutingisha nyavu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...