Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Bw. Deodatus Kinawiro akikagua ujenzi wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi mkoani Kagera.
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Bw. Deodatus Kinawiro akiongea na Baraza la Madiwani la halmashauri ya bukoba na kuwataka kuacha kulalamika hasa katika kipindi hichi cha kurudisha hali ya kawaida baada ya tetemeko la ardhi kutokea bali watafute njia itakayoleta majawabu ya mambo yanayojitokeza.
Baadhi ya Madiwani wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Bw. Deodatus Kinawiro wakati wa kikao cha dharura cha baraza hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...