Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe akizindua umezaji wa dawa za Kichocho  kwa kumpatia mmoja wa wanafunzi wa shule ya Mkumburu, kushoto ni mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Handeni, William Makufwe
 Dc Godwin Gondwe akinawa mikono kwa maji safi na salama tayari kwa kuzindua a umezaji dawa za kichocho katika shule za msingi zilizopo Halmashauri ya wilaya ya Handeni.
 Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe akizungumza na wanafunzi mambo mbalimbali mapema leo kabla ya kuzindua umezaji dawa za kichocho katika shule za msingi zilizopo Halmashauri ya wilaya ya Handeni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...