Mkuu
wa wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe akizindua umezaji wa dawa za
Kichocho kwa kumpatia mmoja wa wanafunzi wa shule ya Mkumburu, kushoto
ni mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Handeni, William Makufwe
Dc
Godwin Gondwe akinawa mikono kwa maji safi na salama tayari kwa
kuzindua a umezaji dawa za kichocho katika shule za msingi zilizopo
Halmashauri ya wilaya ya Handeni.
Mkuu
wa wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe akizungumza na wanafunzi mambo
mbalimbali mapema leo kabla ya kuzindua umezaji dawa za kichocho katika
shule za msingi zilizopo Halmashauri ya wilaya ya Handeni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...