Ziafuatazo
ni picha za hafla mchapalo (Cocktail Party) ya kukata na shoka ya
kusheherekea miaka 71 ya Umoja wa Mataifa tangu ulipoanzishwa
iliyofanyika nyumbani kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa
na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez jijini
Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni na kuhudhuriwa na wageni
mbalimbali mashuhuri kutoka taasisi mbalimbali za serikali, binafsi
pamoja na mabalozi wa nchi mbalimbali.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...