SIMU.TV: Serikali inakusudia kuwepo kwa mpango wa uagizaji wa pamoja wa mbolea kama ilivyo mafuta ili kuweza kupanga bei elekezi. https://youtu.be/tvJ-CB08REk

SIMU.TV: Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC kimeiomba serikali kufuta adhabu ya kifo kutokana na adhabu hiyo kuenda kinyume na haki za binadamu.https://youtu.be/M9Y0LB05Vo0

SIMU.TV: Naibu waziri wa nchi TAMISEMI amefanya ziara katika shule mbalimbali wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam ili kujionea mafanikio yaliyopatikana katika kukabiliana na upungufu wa madawati. https://youtu.be/EFSZUp_OUKw

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekutana na mwenyekiti wa kampuni ya ujenzi ya CRCC ya China ambaye ameahidi kushirikiana na serikali katika kuboresha makao makuu ya nchi Dodoma. https://youtu.be/EXF6QqNSYsU

SIMU.TV: Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai wameaswa kusuluhisha migogoro ya ardhi pamoja na maeneo ya malisho ili kuondoa athari zinazosababishwa na migogoro hiyo.https://youtu.be/to1l10QkkNA

SIMU.TV: Tanzania inaendesha utafiti wa mbegu mpya za mahindi zilizobadilishwa vinasaba ili kuwezesha zao hilo kuhimili hali ya ukame. https://youtu.be/8dRajuXwddc

SIMU.TV: Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesema inahakikisha visiwa hivyo vinajulikana kote duniani kutokana na kilimo na uzalishaji wa viungo. https://youtu.be/3N4629f6TFM

SIMU.TV: Wakala wa usajili wa biashara na leseni BRELA umetoa muda wa miezi miwili kwa wafanyabiashara wanaotumia majina ya biashara kuyasajili. https://youtu.be/rW0u9Pgjvfc

SIMU.TV: Klabu ya soka ya Simba ipo jijini Mbeya ikitarajiwa kushuka uwanjani jumatano hii kucheza na wenyeji wa mkoa huo Mbeya city. https://youtu.be/KQCrisrvUUo

SIMU.TV: Pambano la ngumi la uzito wa juu kati ya bondia mtanzania Ibrahim Klass na bondia kutoka Afrika Kusini linatarajiwa kupigwa katika ukumbi wa Diamond jubilee tarehe 28.https://youtu.be/NYEphMJu1a0

SIMU.TV: Timu ya JKT Mlale imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Polisi Moro kwenye mchezo wa ligi daraja la kwanza. https://youtu.be/TcJuNvNOTkY

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...