SIMU.TV: Wakazi wa kata ya Murieti mkaoni Arusha wameiomba serikali kuwajengea kituo cha polisi kutoka na kukithiri kwa vitendo vya uhalifu katika maeneo hayo.https://youtu.be/vDrWN46OoYw
SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewaasa watumishi wa wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua. https://youtu.be/9FuYVRCTpBE
SIMU.TV: Serikali imewaagiza wakala wa hifadhi ya chakua NFRA kupeleka tani 20 za mahindi katika wilaya za Karagwe Kerwa na Misenyi zinazokabiliwa na baa la njaa.https://youtu.be/ebDna8JNtd0
SIMU.TV: Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya taifa ya Muhimbili imeokoa zaidi ya bilioni 13 zilizokua zikitumika kupeleka wagonjwa wa moyo kupata matibabu nje ya nchi. https://youtu.be/ASzO1xEqldA
SIMU.TV: Tatizo la upungufu wa dawa lilikokua likizikabili zahanati za Vigwaza na Ruvu Darajani limemalizika baada ya kupatiwa msaada wa dawa kutoka kwa diwani.https://youtu.be/9I9vsCFRdCs
SIMU.TV: Askofu mkuu wa kanisa la Morovian Tanzania jimbo la Kusini amempongeza rais Dr John Pombe Magufuli kwa juhudi zake za kuwaletea watanzania maendeleo.https://youtu.be/WJXyjqSVOFg
SIMU.TV: Baadhi ya waendesha pikipiki kutoka mjini Shinyanga wameiomba jamii kuwashirikisha katika kufanya shughuli za kijamii ili kuepuka kutuhumiwa kuwa wavunja sheria. https://youtu.be/Srjc01IZSkw
SIMU.TV: Kiongozi wa madhehebu ya Bohora duniani ametoa msaada wa bajaji mbili kwa kijana Saidi Ally aliyepatwa na mkasa wa kutobolewa macho.https://youtu.be/mG3UYTvqejA
SIMU.TV: Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na Mazingira ameiitaka mamlaka ya maji safi na salama kwa kushirikiana na baraza la mazingira kuwaondoa wananchi wanaoishi kandokando ya mto Morogoro. https://youtu.be/Zks-Dl4H4fg
SIMU.TV: Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara wameshikwa shati na Azam FC na kukubali kutoka sare ya bila kufungana katika uwanja wa Uhuru. https://youtu.be/WwaVnz9TiOE
SIMU.TV: Wadau wa mchezo wa ngumi nchini wameandaa ziara ya wanamichezo wa mchezo huo kutoka Dar es Salaam kwenda kushindana na mabondia kutoka Morogoro ili kuinua mchezo huo hapa nchini. https://youtu.be/_cXXQxXcQTU
SIMU.TV: Kocha wa timu ya Zamaleki amesema bado ana matumaini ya kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa Afrika. https://youtu.be/dXaNXRL60qc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...