SIMU.tv: Fahamu kauli ya katibu mkuu wa baraza la michezo Tanzania kuhusu vilabu vya Yanga na Simba kubadili mfumo wa kiundeshaji; https://youtu.be/gjLJ0qy5bZU
SIMU.tv: Wakuu wa wilaya wametakiwa kuwachukulia hatua kali wahandisi wa maji kwa kushindwa kuwalipa wakandarasi kwa wakati ; https://youtu.be/oNjXRh7V-JI
SIMU.tv: Rais John Magufuli awataka mabalozi wa Tanzania kutilia mkazo wa diplomasia ya uchumi katika kutimiza lengo la Tanzania ya viwanda; https://youtu.be/cz4Ce1m31FE
SIMU.tv: Serikali visiwani Zanzibar imewataka wananchi kutokuvamia maeneo ya shule kwa ajili ya shughuli zao binafsi; https://youtu.be/tdAIp1GYtNM
SIMU.tv: Shirika la Elimu Tanzania HAKIELIMU laifagilia serikali kwa hatua iliyochukua kwa walimu waliompiga mwanafunzi huko mkoani Mbeya; https://youtu.be/ivU7vmNmumQ
SIMU.tv: Ripoti ya madaktari kutoka hospitali ya Muhimbili inaonyesha kijana Said Ally aliyetobolewa macho hataona tena. https://youtu.be/ajvFmbjkyXw
SIMU.tv: Watendaji wa ngazi ya vijiji hadi wilaya katika wilaya za Tunduru na Namtumbo wametakiwa kusimamia vyema ununuzi wa zao wa korosho; https://youtu.be/c7QHSDH7xVc
SIMU.tv: Wazee nchini wametakiwa kujitokeza katika fursa zilizowekwa na serikali za wazee kupatiwa bima za afya; https://youtu.be/RuI9w0mnbqE
SIMU.tv: Makamu wa Rais Samia Suluhu awataka watanzania kutumia bidhaa zinazotengezwa nchini ili kukuza uchumi wa taifa; https://youtu.be/76G8gTLXlnw
SIMU.tv: Serikali yawahakikishia walimu kulipwa malimbikizo ya madeni yasiyo ya mshahara;https://youtu.be/Lzv7pNcCroo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...