SIMU.tv: Fahamu kauli ya  katibu mkuu wa baraza la michezo Tanzania kuhusu vilabu vya Yanga na Simba kubadili mfumo wa kiundeshaji; https://youtu.be/gjLJ0qy5bZU

SIMU.tv: Wakuu wa wilaya wametakiwa kuwachukulia hatua kali wahandisi wa maji kwa kushindwa kuwalipa wakandarasi kwa wakati ; https://youtu.be/oNjXRh7V-JI

SIMU.tv: Rais John Magufuli awataka mabalozi wa Tanzania kutilia mkazo wa diplomasia ya uchumi katika kutimiza lengo la Tanzania ya viwanda; https://youtu.be/cz4Ce1m31FE

SIMU.tv: Serikali visiwani Zanzibar imewataka wananchi kutokuvamia maeneo ya shule kwa ajili ya shughuli zao binafsi; https://youtu.be/tdAIp1GYtNM

SIMU.tv: Shirika la Elimu Tanzania HAKIELIMU laifagilia serikali kwa hatua iliyochukua kwa walimu waliompiga mwanafunzi huko mkoani Mbeya; https://youtu.be/ivU7vmNmumQ

SIMU.tv: Ripoti ya madaktari kutoka hospitali ya Muhimbili inaonyesha kijana Said Ally aliyetobolewa macho hataona tena. https://youtu.be/ajvFmbjkyXw

SIMU.tv: Watendaji wa ngazi ya vijiji hadi wilaya katika wilaya za Tunduru na Namtumbo wametakiwa kusimamia vyema  ununuzi wa zao wa korosho; https://youtu.be/c7QHSDH7xVc

SIMU.tv: Wazee nchini wametakiwa kujitokeza katika fursa zilizowekwa na serikali za wazee kupatiwa bima za afya; https://youtu.be/RuI9w0mnbqE

SIMU.tv: Makamu wa Rais Samia Suluhu awataka watanzania kutumia bidhaa zinazotengezwa nchini ili kukuza uchumi wa taifa; https://youtu.be/76G8gTLXlnw

SIMU.tv: Serikali yawahakikishia walimu kulipwa malimbikizo ya madeni yasiyo ya mshahara;https://youtu.be/Lzv7pNcCroo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...