Picha ya pamoja ya Mameneja wa Shirika ambao wapo katika mafuzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi ya NHC yanayotarajiwa kuchukua miaka mitatu yenye lengo la kuboresha utendaji na utekelezaji wa malengo ya Shirika kwa ufanisi unaopaswa.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...