Fidel Castro afariki akiwa na umri wa miaka 90 akiachanyuma historia ya kutatanisha ambapo wakazi wa nchi zinazoendelea wanamchukulia mkombozi mpenda maendeleo, huku nusu ya wakazi wake wakimtaja mkandamizaji kiongozi wa mabavu. Hata hivyo wakazi wengi wanamchukulia ni mkombozi wao.
Home
Unlabelled
VOA Swahili: Fidel Castro akumbukwa duniani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...