Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na mgeni wake Balozi wa Cuba katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Jorge Luis Lopez alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kumuaga Rais kwa kumaliza muda wake wa kazi hapa Nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na mgeni wake Balozi wa Cuba katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Jorge Luis Lopez alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kumuaga Rais kwa kumaliza muda wake wa kazi hapa Nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiagana na mgeni wake Balozi wa Cuba katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Jorge Luis Lopez baada ya mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Mjini Unguja kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi. Picha na Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...