Tunatarajia kufanya mazishi ya ndugu yetu, marehemu Ubwa Jaha, siku ya Jumamosi:Desemba 31, 2016, baada ya sala ya adhuhuri 12:30pm. Maiti itasaliwa msikiti wa Bellevue, Washington.

Kwa taarifa hii tunaomba mchango wa haraka wa  fedha kwa ajili kufanikisha mazishi hayo.
Gharama inayotukabili ni dola elfu nne  ($4,000).
Hivi sasa maiti imehifadhiwa funeral home, Kent. Kadiri tutakavyochelewa, gharama zinapanda zaidi.
Tafadhali pitisha mchango wako:
Bank of America.
Ahmed Kayanda.
Acct. 68316520

Au wasiliana na mimi (425) 890-7428.

Tafadhalini sana tushirikiane katika hili.


Ahsante.
Ahmed

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...