Tunatarajia kufanya mazishi ya ndugu yetu, marehemu Ubwa Jaha, siku ya Jumamosi:Desemba 31, 2016, baada ya sala ya adhuhuri 12:30pm. Maiti itasaliwa msikiti wa Bellevue, Washington.
Kwa taarifa hii tunaomba mchango wa haraka wa fedha kwa ajili kufanikisha mazishi hayo.
Gharama inayotukabili ni dola elfu nne ($4,000).
Hivi sasa maiti imehifadhiwa funeral home, Kent. Kadiri tutakavyochelewa, gharama zinapanda zaidi.
Tafadhali pitisha mchango wako:
Bank of America.
Ahmed Kayanda.
Acct. 68316520
Au wasiliana na mimi (425) 890-7428.
Tafadhalini sana tushirikiane katika hili.
Ahsante.
Ahmed
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...