Naibu Kamishna wa Magereza, Edith Mallya
akimkaribisha Kaimu Kamishna Jenerali
wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(katikati aliyeketi) kabla ya kuongea na Maafisa
na Askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Dar es Salaam katika Baraza Maalum la
kufunga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya 2017(kushoto) ni Mkuu wa Magereza
Mkoa wa D ar es Salaam, SACP. Augustine Mboje. Baraza hilo limefanyika Bwalo
Kuu la Maafisa Magereza Ukonga, Dar es Salaam Desemba 30, 2016.
Kaimu Kamishna
Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akijibu kero mbalimbali zilizoulizwa na
Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Dar es Salaam(hawapo pichani)
katika Baraza Maalum la kufunga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya 2017
Askari
wa Jeshi la Magereza kutoka vituo mbalimbali vya Magereza ya Mkoa wa Dar es
Salaam wakisikiliza hotuba ya Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt.
Juma Malewa(hayupo pichani) katika Baraza Maalum la kufunga mwaka 2016 na
kuukaribisha mwaka mpya 2017.
Afisa
Utumishi wa Jeshi la Magereza, Mrakibu wa Magereza Elmas Mgimwa akitolea
ufafanuzi kuhusiana na masuala ya kiutumishi yaliyoulizwa na Maafisa na Askari
wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Dar es Salaam(hawapo pichani) katika Baraza hilo.
Baadhi
ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakifuatilia kwa umakini mkubwa
hotuba ya Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa kwenye
Baraza hilo (Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la
Magereza).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...