Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akiongea jambo na mmoja wa washindi kati ya  100 waliojishindia kitita cha shilingi Milioni 1/-na 182 waliojishindia shilingi laki 1 kila mmoja  kupitia droo ya Promosheni ya”Nogesha Upendo” leo jijini Dar es Salaam inayowawesha wateja wa kampuni hiyo kujishindia muda wa maongezi,Vifurushi vya intaneti pamoja na  fedha taslimu pindi wakijiunga na kifurushi chochote cha mtandao huo ,Anayeshuhudia ni Mosi Nasoro.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Mosi Nasoro(kulia)akimshuhudia Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu akiwaonyesha namba ya simu ya mmoja wa washindi kati ya  100 waliojishindia kitita cha shilingi Milioni 1/-na 182 waliojishindia shilingi laki 1 kila mmoja  kupitia droo ya Promosheni ya”Nogesha Upendo”inayoendeshwa na kampuni hiyo leo jijini Dar es Salaam inayowawesha wateja wake kujishindia muda wa maongezi,Vifurushi vya intaneti pamoja na  fedha taslimu pindi wakijiunga na kifurushi chochote cha mtandao huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...