UPDATES: Marehemu mpendwa wetu Eyshe Max amezikwa jana  katika makaburi ya Geneva, mazishi yaliyohudhuriwa na watu wengi ikiwemo jumuiya ya Watanzania waishio huko, ndugu, jamaa na marafiki. 
Marehemu Eyshe atakumbukwa daima kwa ucheshi na upendo wake na zaidi  zaidi kwa ucha Mungu wake. Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, na aifariji familia yake aliyoiacha nyuma. 
Amin.🙏🏾
 Waombolezaji katika makaburi ya Geneva wakati wa  mazishi yaliyohudhuriwa na watu wengi ikiwemo jumuiya ya Watanzania waishio huko, ndugu, jamaa na marafiki. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...