Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Antonio Manuel Olveira Guterres wakati alipokuwa kwenye mojawapo ya
vikao vya Umoja wa Afrika (AU) vinavyofanyika katika Makao makuu yake
mjini Addis Ababa nchini Ethipia. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga.
Home
HABARI
IKULU
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA KIKAO CHA UMOJA WA AFRIKA (AU) MJINI ADDIS ABABA ETHIOPIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...