Jaji
Mfawidhi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi Mhe. Aisha Nyerere akionesha bango
kabla ya kanza kwa matembezi ya Uzinduzi wa wiki ya Sheria Nchini leo jijini
Dar es Salaam.
Kaimu
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma akiwa katika picha ya pamoja na Jaji
Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya
Tanzania Mhe. Ferdinand Wambali kabla ya kuanza kwa matembezi ya zinduzi wa
wiki ya Sheria leo jijini dar es salaam.
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiongoza
Matembezi ya Uzinduzi wa Wiki ya Sheria nchini leo.Kushoto ni Kaimu Jaji Mkuu
wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma na kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na
Sheria Prof.Sifuni Mchome.
Sehemu ya Watumishi wa Mahakama wakiwa kwenye Matembezi hayo.
Watumishi wa Mahakamaya watoto wakiwa kwenye Matembezi hayo.
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi akizungmza wakati wa Uzinduzi
wa Wiki ya Sheria nchini leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
Salaam. Picha zote na Lydia Churi wa Mahakama.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...