Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (mwenye kitambaa cha pink) akisaidiwa kuvuna muhongo aliozawadiwa na mkulima wa kijiji cha Mwankonko Manispaa ya Singida Gideoin Itambu juzi alipofanya ziara katika Manispaa ya Singida kukagua shughuli za kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akikagua shamba la muhongo kwenye shamba la mkulima wa kijiji cha Mwankoko Manispaa ya Singida Gideion Itambu juzi na kuagiza shule zote za Msingi na Sekondari Mkoani Singida kuhakikisha zinakuwa na shamba la muhongo lisilopungua ekari moja kwa ajili ya chakula cha wanafunzi na nusu ekari kwa ajili ya chakula cha walimu.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akipanda muhongo kwenye shamba la mkulima wa kijiji cha Mwankoko Manispaa ya Singida Gideon Itambu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...