SIMU.TV: Benki ya Dunia imeiahidi Tanzania kuharakisha baadhi ya miradi inayofadhiliwa na benki hiyo ili kutimiza lengo la kuifanya Tanzania ya viwanda; https://youtu.be/XxAUudPcRbs

SIMU.TV: Kampuni ya bia ya Serengeti SBL imewapatia watanzania zaidi ya milioni 2 maji safi na salama baada ya kuwachimbia visima 17 nchi nzima; https://youtu.be/49-RBXzouZo

SIMU.TV: Kijana Elisha Selvestre mwenye umri wa miaka 26 amepigwa na kujeruhiwa sehemu za siri na mwajiri wake raia wa China baada ya kunywa maji yake ya chupa; https://youtu.be/hwHEi5cFsC8

SIMU.TV: Kampuni ya TCCIA imeanza kuuza hisa zake katika soko la hisa Dar Es salaam DSE kwa kipindi cha wiki sita; https://youtu.be/2KXw6L0I8S0

SIMU.TV: Naibu waziri wa Fedha Dkt Ashantu Kijaji amewataka wahitimu nchini kuachana na fikra za kuajiriwa na badala yake wafikirie zaidi kujiajiri; https://youtu.be/Y1IaL8ZH8-s

SIMU.TV: Mrajisi msaidizi wa vyama vya ushirika mkoa wa Mbeya Angela Maganga ameisimamisha kazi bodi ya Madibila Saccos kwa ubadhirifu wa fedha; https://youtu.be/QXgaQQ0Bn1g

SIMU.TV: Maandalizi kuelekea mashindano maalumu ya Gofu yaliyoandaliwa na klabu ya jeshi ya Lugalo yamezidi kupamba moto baada ya timu alikwa kuanza kuwasili; https://youtu.be/PSAK5tZo8dk

SIMU.TV: Ligi kuu Tanzania bara inatarajia kuendelea tena wikiendi ijayo kwa kuzikutanisha timu za Simba na Azam Fc uwanja wa Uhuru jijini Dar Es salaam; https://youtu.be/O1whY0ncw0U

SIMU.TV: Bondia Mwankemwa anatarajia kupanda ulingoni February 5 mwaka huu kumkabili Ramadhani Shauri kuwania ubingwa wa Afrika mashariki; https://youtu.be/y9idZbZkoYQ
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...