Watoto  wakicheza mpira  katika  kiwanja  cha  kijiji  cha Mkaranga   wilaya ya  Kilolo  mkoani  Iringa  huku  wakitumia  vyandarua  kama  nyavu za  goli  jambo  ambalo  halikuwa  ni lengo  la  serikali  kugawa vyandarua   hivyo  kwa matumizi kama  haya ya viwanjani
Mchezaji  akijiandaa kupiga  mpira  uliotengenezwa kienyeji  kwa karatasi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...