Waziri Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akiwa na Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete wakati walipokuwa wakitembea na kukagua maendeleo ya awali ya eneo litakalojengwa kiwanda kikubwa cha kutengeneza vigae "Tiles" lililopo katika Kijiji cha Pingo, Chalinze Mkoani Pwani.
Waziri Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akiwa na Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete wakati walipokuwa wakitembea na kukagua maendeleo ya awali ya eneo litakalojengwa kiwanda kikubwa cha kutengeneza vigae "Tiles" lililopo katika Kijiji cha Pingo, Chalinze Mkoani Pwani.
Na.Mwandishi Wetu
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles
Mwijage amepongeza jitihada zinazofanywa na muwekezaji wa kampuni TwyFord
Tanzania Cereramics,kwa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza vigae
"Tiles" katika Kijiji cha Pingo, Chalinze Mkoani Pwani.
Waziri Mwijage, amesema hayo alipotembelea na
kukagua maendeleo ya awali ya eneo, litakalojengwa kiwanda hicho cha
kutengeneza vigae "Tiles" kitakachotoa ajira kwa watanzania zaidi ya
elfu mbili katika mfumo rasmi,na ajira elfu nne zisizo rasmi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...