Diwani mpya wa kata ya kijichi Tausi Milanzi akiapishwa katika kikao cha madiwani kilichofanyika leo.
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imefanya kikao cha baraza la madiani ambapo katika kikao hicho mada na ajenda mbalimbali za kimaendeleo zinazohusu wananchi zilijadiliwa.
Sambamba na hilo diwani mpya wa kata ya kijichi Tausi Milanzi alipata kuapishwa katika kikao hicho na kumfanya diwani kutambulika rasmi katika baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.
Madiwani wakiwa katika kikao wakijadili ajenda mbalimbali za kimaendeleo za Manispaa ya wilaya ya Temeke
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...