Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii
Ushindi wa bao 2-1 wa klabu ya Simba dhidi ya mahasimu wao Dar es Salaam Young Africa umeweza kuwaneemesha wafungaji wa Simba, Laudit Mavugo na Shiza kichuya.
Wachezaji hao ambao waliweza kung’ara katika mchezo huo, walijipatia fedha za kutosha kutoka kwa mashabiki wa mchezo huo ,waliokuwa wakiwatuza fedha mara baada ya mchezo huo kuisha.
Ushindi wa mchezo huo ameleta shnagwe na furaha kubwa kwa washabiki na kuamua kuwajaza manoti wachezaji hao.
Mshambuliaji wa Simba , Shiza Kichuya
akiokota fedha ambazo amepewa na mashabiki
akiokota fedha ambazo amepewa na mashabiki


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...