Kamishna Jenerali wa Magereza nchini (CGP) Dkt. Juma Malewa (katikati) akizungumza katika hafla ya kusaini Mkataba wa Makubaliano (MOU) kwaajili ya Uendelezaji wa Mradi wa Kiwanda cha sukari na shamba la miwa Mbigiri Mkoani Morogoro, uliosainiwa kati ya Jeshi la Magereza na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF kwa pamoja na Mfuko wa PPF, yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam. kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara akizungumza katika hafla ya kusaini Mkataba wa Makubaliano (MOU) kwaajili ya Uendelezaji wa Mradi wa Kiwanda cha sukari na shamba la miwa Mbigiri Mkoani Morogoro, uliosainiwa kati ya Jeshi la Magereza na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF kwa pamoja na Mfuko wa PPF, yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini (CGP) Dkt. Juma Malewa akisainiana mkataba wa makubaliano na Mkurugenzi wa Muda wa Kampuni ya Mkulazi Holdings Co. Ltd, Nicander Kileo huku wakishuhudiwa na Wakurugenzi wa NSSF (Prof. Godius Kahyarara) na PPF (William Erio), katika hafla iliyofanyika leo jijini Dar es salaam. 
Picha ya pamoja na Watendaji wakuu wa Mifuko hiyo ya NSSF na PPF.
Picha ya pamoja na Maafisa wa Jeshi la Magereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...