Jengo Jipya la Bodi ya Mfuko wa Barabara lililopo mjini Dodoma ambako Idara ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imetoa ushauri wa kihandisi katika usimikaji wa mifumo ya TEHAMA, Umeme, Viyoyozi, lifti na Kangavuke.
 Jengo jipya la Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano lililopo mtaa wa Moshi mjini Dodoma, ambako Idara ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imetoa ushauri wa kihandisi pamoja na kufanya usimikaji wa mifumo ya TEHAMA, Umeme na Viyoyozi.
 Mafundi kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wakifanya kazi ya kusimika mifumo ya TEHAMA katika jengo jipya la Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano lililopo mtaa wa Moshi mjini Dodoma.
 Fundi kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) akifanya kazi ya kusimika mifumo ya umeme katika jengo jipya la Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano lililopo mtaa wa Moshi mjini Dodoma.
Fundi kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) akifanya kazi ya kufunga taa katika jengo jipya la Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano lililopo mtaa wa Moshi mjini Dodoma. 
Picha na Theresia Mwami – TEMESA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...