Wajumbe wa Chama cha Wanawake tawi la GST-Makao Makuu DODOMA wakiwa katika picha ya pamoja katika viwanja vya Hospital ya Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma baada ya kushirika katika kazi ya kufanya usafi ndani ya Hospital hiyo,siku ya Wanawake Duniani ambayo kilele chake kiliadhimishwa tarehe 08/03/2017, Mkoani Dodoma sherehe hizi kimkoa zilifanyika Wilaya ya Kongwa.
Home
HABARI
CHAMA CHA WANAWAME TAWI LA GST DODOMA WAADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI KWA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA KONGWA DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...