
Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama akichangia Shilingi milioni 7 kwa ajili ya kukamilisha mradi wa maji
..............................
Wakazi wa kata ya WINO halmashauri ya wilaya ya MADABA mkoani Ruvuma, wamechukua jukumu la kuchangishana fedha kwa ajili ya kukamilisha mradi wa maji unaogharimu kiasi cha shilingi million sabini ili kuondokana na kelo ya maji.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...