Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akikaza nati katika daraja la
Nduruma lenye urefu wa mita 60 linalojengwa katika barabara ya Sakina-Tengeru
yenye urefu wa KM 14.1 wakati alipokagua barabara hiyo, mkoani Arusha leo.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa kwanza kushoto), akikagua
moja ya daraja lililopo katika barabara ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa KM 14.1
inayojengwa na Mkandarasi wa Kampuni ya M/S Hanil Jiangsu J/V wakati alipokagua
barabara hiyo, mkoani Arusha leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa
Makame Mbarawa, akizungumza na wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha mara
baada ya kukagua barabara ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa KM 14.1.
Imetolewa na Kitengo
cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa uongozi wa Kampuni ya ujenzi ya Chicco, wakati alipokuwa akikagua barabara ya Kia-Mererani yenye urefu wa KM 26, mkoani Arusha, leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...