Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akisaini kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika kituo cha Television cha Jiji la Tanga (Tanga TV) akiwa na wajumbe wa kamati ya Mfuko wa Jimbo kuangalia fedha za mfuko wa Jimbo zilivyotumika kulia ni Meneja wa kituo hicho,Mussa Labani
 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kulia akimsikiliza Afisa Mipango na Uchumi wa Jiji la Tanga ambaye pia ni Katibu wa Mfuko wa Jimbo,Ramadhani Possi mara baada ya kusaini kitabu hicho
 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akiwa na wajumbe wa kamati hiyo wakiorodhesha baadhi ya vitu wakati wa ziara hiyo
 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku katika akimsikiliza Meneja wa kituo hicho,Mussa Labani kushoto
 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku wa pili kutoka kushoro akipewa maelekezo na Meneja wa Kituo cha Tanga TV Mussa Labani
 Afisa Mipango na Uchumi wa Jiji la Tanga ambaye pia ni Katibu wa Mfuko wa Jimbo,Ramadhani Possi wa pili kutoka kushoto akimuonesha jambo  Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...