Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili ya Jumuiya ya
Afrika Mashariki Prof Kenneth Linyani Simala wakati alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe alliofuatana nao .
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili ya Jumuiya ya
Afrika Mashariki Prof Keneth Linyani Simala wakati alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar jana.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akizungumza na mgeni wake Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili ya
Jumuiya ya Afrika Mashariki Prof Keneth Linyani Simala wakati
alipofika Ikulu Mjini Zanzibar Jana 29/08/2017. (Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...