Moto umezuka katika duka la vifaa vya ujenzi la Chavda lililopo Double road katika manispaa ya Moshi na kutekeketeza bidhaa mbalimbali.

Taarifa kutoka eneo la tukio zinadai moto huo ulianza majira ya Saa 6: 47 za mchana hata hivyo jeshi la zima moto kutoka Kiwanda cha TPC kwa kushirikiana na jeshi la polisi wanaendelea na jitihada za kuzima moto huo. Picha na Dixon Busagaga.

Sehemu askari Polisi na kikosi cha zimamoto pamoja na wananchi wakisaidiana kutafuta mbinu za kuudhibiti moto uliozuka katika duka la vifaa vya ujenzi la Chavda lililopo Double road katika manispaa ya Moshi na kutekeketeza bidhaa mbalimbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...