Mkurugenzi wa Halmshauri ya Manispaa ya Kinondoni,Aron Kagurumjuli (kulia) akisaini mikataba miwili  ya ujenzi wa barabara yenye thamani ya sh. bilioni 49  na kampuni za ukandarasi za  Estim Constructions Company Limited ya hapa nchini na  kampuni ya CCEC ya China.katikati ni Meya wa Kinondoni,Benjamin Sitta
Picha ya pamoja.(picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii).
 Mkurugenzi wa Halmshauri ya Manispaa ya Kinondoni,Aron Kagurumjuli akizungumza katika hafla ya utilianaji saini mikataba miwili  ya ujenzi wa barabara yenye thamani ya sh. bilioni 49  na kampuni za ukandarasi za  Estim Constructions Company Limited ya hapa nchini na  kampuni ya CCEC ya China,leo jijini Dar es Salaam.
 Meya wa Kinondoni,Benjamin Sitta, akizungumza katika hafla ya utilianaji saini mikataba miwili  ya ujenzi wa barabara yenye thamani ya sh. bilioni 49  na kampuni za ukandarasi za  Estim Constructions Company Limited ya hapa nchini na  kampuni ya CCEC ya China.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...