Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mheshimiwa Pierre Nkurunziza, leo
tarehe 28.9.2017 ametembelea Maonesho ya Kwanza ya Biashara ya Tanzania
yanayofanyika katika Viwanja vya Maonesho vya Tempete vilivyopo Mjini
Bujumbura.
Maonesho
haya yaliandaliwa na TANTRADE kwa ushirikiano na Ubalozi wa Tanzania
Burundi pamoja na Mamlaka ya Bandari Tanzania ( TPA ) yamefunguliwa
rasmi tarehe 27.9.2017 na Dr Joseph Bitore, Makamu wa Pili wa Rais wa
Burundi yanatarajia kumalizika tarehe 1.10.2017.
Baada
ya kutembelea Maonesho haya, Mh. Rais Nkurunziza alisifu uhusiano
uliopo baina ya Burundi na Tanzania na aliahidi kuunga mkono juhudi zote
za kuimarisha uchumi baina ya Nchi hizi mbili.
Picha
chini zinamuonesha Rais Nkurunzinza akiongozwa na Mh. Christopher
Chiza, Mwenyekiti wa Bodi TanTrade, Balozi Rajabu Gamaha, Balozi wa
Tanzania Burundi pamoja na Bw. Edwin Rutageruka, Kaimu Mkurugenzi Mkuu
TanTrade ambao wapo Mjini Bujumbula kwa sasa kubudhuria Maonesho haya.
Rais Nkurunzinza akipata maelezo mafupi kuhusu bidhaa mbalimbali zinazouzwa kwenye maonesho hayo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu TanTrade Bw. Edwin Rutageruka,ambao wapo Mjini Bujumbula kwa sasa kubudhuria Maonesho hayo.
Rais Nkurunzinza akiongozwa na Mh. Christopher Chiza, Mwenyekiti wa Bodi TanTrade, Balozi Rajabu Gamaha, Balozi wa Tanzania Burundi pamoja na Bw. Edwin Rutageruka, Kaimu Mkurugenzi Mkuu TanTrade ambao wapo Mjini Bujumbula kwa sasa kuhudhuria Maonesho hayo.
Mheshimiwa Pierre Nkurunziza, Rais wa Jamhuri ya Burundi, leo tarehe 28.9.2017 ametembelea Maonesho ya Kwanza ya Biashara ya Tanzania yanayofanyika katika Viwanja vya Maonesho vya Tempete vilivyopo Mjini Bujumbura.
Rais Nkurunzinza akipata maelezo mafupi kuhusu bidhaa mbalimbali zinazouzwa kwenye maonesho hayo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu TanTrade Bw. Edwin Rutageruka,ambao wapo Mjini Bujumbula kwa sasa kubudhuria Maonesho hayo.
Rais Nkurunzinza akiongozwa na Mh. Christopher Chiza, Mwenyekiti wa Bodi TanTrade, Balozi Rajabu Gamaha, Balozi wa Tanzania Burundi pamoja na Bw. Edwin Rutageruka, Kaimu Mkurugenzi Mkuu TanTrade ambao wapo Mjini Bujumbula kwa sasa kuhudhuria Maonesho hayo.
Mheshimiwa Pierre Nkurunziza, Rais wa Jamhuri ya Burundi, leo tarehe 28.9.2017 ametembelea Maonesho ya Kwanza ya Biashara ya Tanzania yanayofanyika katika Viwanja vya Maonesho vya Tempete vilivyopo Mjini Bujumbura.
Rais
Nkurunzinza akihojiwa na baadhi ya Wanahabari (hawapo pichani),kwenye maonesho hayo, kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi
TanTrade, Christopher Chiza pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu TanTrade Bw.
Edwin Rutageruka,ambao wapo Mjini
Bujumbula kwa sasa kubudhuria Maonesho hayo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...