Mkurugenzi
wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano
maalum wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF
kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike
nchini,uliofanyika jana jijini Dar.
Mkurugenzi wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano maalum wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike nchini
Meneja Mipango na Mahusiano kutoka HDIF ,Emma Devies akizungumza na wadau waliofika katika mkutano maalum wa maahdhimsiho ya siku ya mtoto wa kike Duniani,uliofanyika jana jioni jijini dar.
Wadau walioshiriki katika mkutano huo ulioandaliwa na HDIF Katika ukumbi wa COSTECH Jijini Dar es Salaam.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Mkurugenzi wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano maalum wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike nchini
Meneja Mipango na Mahusiano kutoka HDIF ,Emma Devies akizungumza na wadau waliofika katika mkutano maalum wa maahdhimsiho ya siku ya mtoto wa kike Duniani,uliofanyika jana jioni jijini dar.
Wadau walioshiriki katika mkutano huo ulioandaliwa na HDIF Katika ukumbi wa COSTECH Jijini Dar es Salaam.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...